RAY C AMEPONA NA ANAMSHUKURU RAIS KIKWETE
![]()  | 
| Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila 'RAY C' akimshukuru Rais Kikwete kwa msaada wa matibabu aliompatia ikulu jijini Dar es Salaam leo. | 
Rais
 Dkt.  Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Ray C watu kushoto,Mama 
yake  mzazi Ray C Bibi Margareth Mtweve (kushoto) na kulia ni Sarah 
Mtweve  Dada yake Ray C.
---
Mwanamuziki
  wa Kizazi Kipya Rehema Chalamila maarufu kama RAY C leo amemtembelea  
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dare s Salaam na kumshukuru 
 kwa msaada wa matibabu wakati alipokuwa mgonjwa hivi karibuni.


No comments:
Post a Comment