TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, August 31, 2015

Huyu ni mbadala wa Javier Hernandez katika klabu ya Man United

Klabu ya Manchester United bado ipo katika dakika za mwisho kutafuta mbadala wa mshambuliaji wa Mexico aliyekuwa kwa mkopo wa muda mrefu katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Javier Hernandez Chicharito, Man United ambayo August 30 ili muuza Javier Hernandez kwenda katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani.
031315-5-SOCCER-Anthony-Martial-OB-PI.vresize.1200.675.high.25
 Man United walimuuza Javier Hernandez kwenda Bayer Leverkusen kwa dau la pound milioni 12 hivyo wametenga dau la pound milioni 36 ilikuishawishi klabu ya Monaco ya Ufaransa kumuachia Anthony Martial ajiunge na wababe hao wa Old Trafford.
64108
Hata hivyo taarifa hizo zinakuja ikiwa ni masaa kadhaa toka Man United ipoteze mchezo kwa goli 2-1 dhidi ya Swansea CityAnthony Martial ambaye analinganishwa kiuchezaji na Thierry Henry alikuwa akiwaniwa na vilabu vya Chelsea na Tottenham Hotspur ambayo ilitoa pound milioni 19 kwa Monaco zikakataliwa, bado Man United wanasubiri majibu ya ombi lao la kumnunua nyota huyo.

Friday, August 28, 2015

Usain Bolt kwenye headlines tena Beijing China 

Mwanariadha kutokea Jamaica Usain Bolt August 28 amerudi tena katika headlines za mchezo wa riadha, Bolt ameshashinda medali nyingi za riadha ila August 27 Beijing China alithibitisha ubora wake kwa kushinda mbio za mita 200 na kupata medali ya dhahabu kwa mbio hizo.
2BB59D2B00000578-3212911-image-a-37_1440689402646
Bolt aliyekuwa na upinzani mkali kutoka kwa mwanariadha kutokea Marekani Justin Gatlin alishinda medali ya dhahabu ya ubingwa wa dunia kwa mita 200.
2BB54A6700000578-3212911-image-a-10_1440681919799Mjamaica huyo amewahi kushinda medali zaidi ya kumi za dhahabu katika mbio za mita 100 na mita 200. Ila wakati anashangilia ushindi huo alipata ajali, baada ya Camera Man kumgonga kwa bahati mbaya wakati Bolt anashangilia huku Camera Man akimchukua picha za video.
2BB59B3700000578-3212911-image-m-31_1440689180130
2BB5DDB700000578-3212911-image-a-1_1440686650485
2BB59B8D00000578-3212911-image-a-65_1440685249105

Ashley Young, Morgan Schneiderlin wa Man United waungana na wachezaji wengine katika mashindano ya ADIDAS (Picha)

Kampuni ya vifaa vya michezo ya Kijerumani ADIDAS ambayo ni wadhamini wa vilabu kadhaa vya soka barani Ulaya imeandaa mashindano maalum ya kutangaza jezi mpya za timu walizozidhamini. Mashindano hayo ni ya tofauti na sio kama tuliyoyazoea kwani yalikuwa yakihusisha wachezaji wawili wawili.
2BB6CBC200000578-3213582-image-a-95_1440717985416
Wachezaji wa vilabu vya Man United, Chelsea, AC Milan, Bayern Munich na Real Madrid kila klabu ilitoa wachezaji wawili kushiriki katika mashindano ambayo ADIDAS waliyapa jina la be the difference ilikuwa kwa ajili ya kuzindua jezi za tatu za timu zilizodhaminiwa na Adidas.
2BB8352C00000578-3213582-image-a-66_1440717220333
Wachezaji waliyohudhuria mashindano hayo yaliyofanyika Marseille Ufaransa ni Ashley YoungMorgan Schneiderlin wa Man United, Victor Moses, Cesar Azpilicueta wa Chelsea na Riccardo Montolivo na Philippe Mexes wa klabu ya AC Milan.
2BB82D3D00000578-3213582-image-a-63_1440717142412
2BB82D6D00000578-3213582-image-a-3_1440718146019
2BB82FB500000578-3213582-image-m-57_1440716972327
2BB827D900000578-3213582-image-m-60_1440717052852
2BB8258300000578-3213582-image-a-53_1440716874564
2BB8231800000578-0-image-a-50_1440716725613
2BB64A2100000578-3213582-image-a-12_1440719253231
2BB824D000000578-0-image-a-47_1440716666453

Thursday, August 13, 2015

Leo nimepita kwenye hili soko la Samaki, takwimu na idadi ya wafanyabiashara hizi hapa

.
.
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na leo nimepita Feli Dar es Salaam ambapo ni eneo linalohusika na shughuli za uvuvi wa Samaki.
Inawezekana ukawa ni mpenzi wa chakula cha Samaki lakini haufahamu kinatoka sehemu gani na ndio sababu kubwa iliyonifanya nije hapa kwenye hili soko kuu ili nikusogezea kila ambacho haukifahamu.
.
.
Baada ya kufika kwenye soko hilo nimefanikiwa kumpata Mwenyekiti wa soko Ally Kibwana ambaye ameelezea namna ya uvuvi wa samaki pamoja na idadi ya wafanya biashara katika eneo hilo.
.
.
‘Kwa muda wa kawaida samaki kuwapata tunapata tani milioni moja kwa siku kutokana na kuingia kwa samaki sehemu mbalimbali Mafia, Kilwa na wavuvi wetu wa hapa wanaoenda na kurudi kwa hiyo kutokana na hali ya bahari kubadilika kutokana na tabia ya nchi kuna upepo mkali ambao umesababisha samaki kidogo kupungua kwa hiyo hatufiki kile kiwango tunachokihitaji’ – Ally Kibwana
.
.
‘Kazi moja ngumu ya Uvuvi  kwasababu mfano uvuvi wa madagaa tunatumia nyavu na kuna uvuvi ambao tunatumia boti hizi ndogo tunazihitaji ngwanda ni kutupa nyavu kutega ukishatega halafu watu wanashuka chini  kuzisukuma zile nyavu ili kupata samaki lakini ni moja kati ya kazi ngumu kwasababu bado tuna uvuvi wetu wa kizamani  hatujapata uvuvi wa kisasa kama tulivyoahidiwa na Serikali’ – Ally Kibwana
.
.
‘Wafanyabiashara waliopo hapa feli wanakaribia elfu kumi  sasa hivi walipo sokoni kwasababu tupo katika kata kuna zone namba 1 mpaka namba 8, zone 8 ambayo inashughulika  kuvua na  kurudisha mali na kuja kuuza zone namba 1, toilet hapa ziko mbili ambao zinauwezo wa kuingiza  mara moja watu kumi lakini hazitoshi kwasababbu watu ni wengi  tathmini ya mwanzo ilikuwa ni watu  elfu 10000 ila kwasasa wamezidi yaani idadi imeongeza’ – Ally Kibwana.
.
.
.
.
.
.
.

Nimekusogezea picha za boti ya kifahari ya mmiliki wa klabu ya Chelsea 

Bilionea wa Kirusi ambae pia ni mmiliki wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Roman Abromavich hajaishia tu kupenda kununua wachezaji mastaa waje kucheza katika klabu yake bali anapenda kumiliki vitu vizuri na vya thamani, Abromavich ana miliki vitu mbalimbali vya thamani.
roman_abramovich_2071645b (1)
Abromavich ana utajiri mkubwa na anaonekana kutimiza kila hitaji la moyo wake unalo hitaji kwa wakati husika japo kitu pekee ambacho pesa zake zimeshindwa kununua ni aina ya mfumo wa uchezaji wa FC Barcelona na kuupeleka Chelsea kwani asilimia kubwa ya makocha wanaoingia katika timu hiyo huwa hawafanikiwi kuuleta ile aina ya soka la kuvutia wanalo cheza klabu ya FC Barcelona.
roman 2
August 12 nimeona nikusogezee picha za boti binafsi ya Bilionea anayeimiliki klabu ya Chelsea boti ambayo imefungwa mitambo maalum ya kuzuia mtu au paparazi akipiga picha haitokei lakini pia ina sehemu ya kutua helcopter juu ya hiyo boti, Roman Abromavich aliwahi kuja kupanda mlima Kilimanjaro Tanzania.
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+P-Hrbjje_Vwl
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+0ZYGZX_VSBPl
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+bZLTjKSdlPal
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+lysyho1Kdirl
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+M3lnTONhWAhl
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+r3qry4cLZkcl
Abramovich+mega+yacht+Eclipse+ikgQakgZI87l

Imetolewa Top 3 ya wanaogombe tuzo ya uchezaji bora ulaya – Messi, Ronaldo, Neymar, Suarez nani kaingia? 

Hatimaye shirikisho la soka bara UEFA limetangaza majina matati ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora msimu ulioisha ndani ya mipaka ya bara hilo.
 
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na UEFA – majina ya Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Luis Suarez ndio yaliyofanikiwa kuingia kwenye 3 bora itakayopigiwa kura mpaka kupatikana kwa mshindi wa tuzo hiyo mwaka huu. 
Messi na Suarez kwa pamoja walifanikiwa kuiongoza FC Barcelona kutwaa makombe matatu msimu uliopita kabla ya jana usiku kuongeza kombe la 4 – huku Ronaldo ambaye alikuwa alitwaa tuzo hiyo msimu uliopita akiibuka mfungaji wa La Liga msimu uliopita akifunga magoli zaidi ya 40.
Majina mengine ya wachezaji walioingia kwenye listi ya wachezaji 36 waliopigiwa kura 
 UEFA pia imetangaza majina 3 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa ulaya upande wa wanawake.
  – Celia Sasic (GER)
  • Dzsenifer Marozsan (GER)
  • Amandine Henry (FRA)

Ricardo Kaka anaamini Arsenal ina nafasi ndogo ya kumpata mchezaji huyu

Aliyewahi kuwa mchezaji bora wa Dunia mwaka 2007 ambae pia amewahi kuvichezea vilabu vya AC Milan ya Italia na Real Madrid ya Hispania Ricardo Kaka anaamini mshambuliaji wa Real Madrid ya Hispania Karim Benzema hawezi kuachwa na klabu yake akajiunge na Arsenal na kama atauzwa kwenda Arsenal basi watakuwa wamepata bahati.
Kak-Brazil-3-vs-Ivory-Coast-1-ricardo-kaka-13181234-396-594
“Nafikiri Benzema ni moja kati ya washambuliaji bora kwa kipindi hiki, sifikirii kama Real Madrid watamuacha aondoke kirahisi lakini Karim Benzema ni mchezaji mzuri sana na kama atapata nafasi ya kwenda Arsenal, basi Arsenal watakuwa wamepata mchezaji mzuri sana”>>>Kaka
Getafe+v+Real+Madrid+La+Liga+pDM5qfOvzPhm
Ricardo Kaka wakipeana mikono na Karim Benzema
Kaka ambae alivunja rekodi ya uhamisho wa usajili mwaka 2009 akitokea katika klabu ya AC Milan ya Italia bado anawindwa na klabu ya Orlando City inayoshiriki Ligi Kuu Marekani.

Hii ni sababu iliyomtoa Rafael da Silva Man United, Van Gaal anahusika

Ikiwa zimepita siku kadhaa toka aliyekuwa beki wa pembeni wa klabu ya Manchester United ya Uingereza Rafael da Silva aondoke klabuni hapo na kutimkia katika klabu ya Olympique Lyon inayoshiriki Ligi Kuu Ufaransa kwa ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia pound milioni 2.5.
456670762-1-_3212902
Louis van Gaal mbele, nyuma akiwa na beki Rafael
August 12 amefunguka na kusema kuwa kilichomtoa hapo ni kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal kutokuwa ana muhitaji na kukiri kuwa kocha huyo hakuwa hakimpenda hivyo hiyo ni miongoni mwa sababu zilizo mpelekea kuondoka klabuni hapo.
rafael-manchester-united_3294598
Rafael alizungumza hayo baada ya kuulizwa kuhusu kuondoka kwake ni kweli Van Gaal hawapendi wachezaji wa kibrazil, Rafael anakiri kusikia hiyo story ya Van Gaal kutopenda wachezaji wa Kibrazil ila hawezi thibitisha kuwa ndio hawapendi ila anachojua hata yeye hakuwa anapendwa na kocha huyo.
“Nilisikia hii story ya kuwa hawapendi wachezaji wa Kibrazil lakini siwezi sema hivyo kwani sina uhakika, najua alikuwa hanipendi labda sababu ya mimi kuwa Mbrazil hilo sijui. Nilicheza msimu mzima wa 2012-2013 nikiwa chini ya Ferguson nilicheza kila mechi ulikuwa msimu bora nikiwa Man United kiasi cha kutwaa Ubingwa”>>>Rafael
456670762-1-_3212902
Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alicheza kwa miaka saba katika klabu ya Manchester United kabla ya kuondoka wiki iliyopita na kujiunga na klabu ya Olympique Lyon ya Ufaransa, wakati huo Man United  ilikuwa ikinolewa na kocha Sir Alex Ferguson.

Friday, August 7, 2015

Tanzania yazidi kuporomoka viwango vya kimataifa vya FIFA

FIFAAAA
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imezidi kushuka katika viwango vya ubora wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na sasa imeshuka kwa nafasi moja zaidi na kushika nafasi ya 140.
Orodha hiyo imetolewa jana na Shirikisho la soka duniani FIFA na imeonyesha kuwa, Tanzania ndiyo nchi inayoshika nafasi ya chini zaidi katika Ukanda wa Afrika Mashariki ambapo Uganda inashika nafasi ya 74, huku Kenya ikiwa ya 116.
Algeria ndiyo inayoongoza kwa Afrika kwa kushika nafasi ya 19 ikifuatiwa na Ivory Coast inayoshika nafasi ya 21.
Timu zinazoongoza katika nafasi 10 bora ni; Argentina, Ubelgiji, Ujerumani, Colombia, Brazil, Ureno, Romania, England, Wales na Chile.

Rais JK alivyopiga selfie mojamoja na Wasanii kwenye party 

DSC_0889
August 6 2015 Mlimani City Dar  es Salaam, Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amekutana na wasanii ambapo kilichofanyika hapo ni hafla ya kumuaga Rais JK ambapo imebaki kama miezi miwili hivi amalize awamu yake ya uongozi, hapa kuna picha Rais alivyopita meza mojamoja na kuwapa mikono pamoja na kupiga picha na wasanii mbalimbali.
DSC_0885
Rais Kikwete akiwa ameongozana na Waziri John Magufuli, Abdulrahman Kinana, Naibu Waziri January Makamba na DC Paul Makonda.
DSC_0884
.
DSC_0891
.
DSC_0907
Rais JK akaanza kupita meza moja moja kusalimiana na watu wote waliopo ndani ya Ukumbi.
DSC_0908
Wengine wakapata na Selfie kabisa.
DSC_0919
Malaika kwenye pozi la selfie na Mr. President.
DSC_0948
Rais JK akisalimiana na Diamond Platnumz.
DSC_0939
Rais JK anasalimiana na Mzee Yusuph.
DSC_0978
Rais JK na mwigizaji Dokii.
DSC_0976
Rais JK na mwigizaji Kitale.
DSC_0974
Ben Pol, G Nako na Rais JK kwenye pozi la Selfie, pembeni yuko Daian Soul.
DSC_0916 DSC_0922 DSC_0923 DSC_0944 DSC_0954 DSC_0955 DSC_0956 DSC_0961 DSC_0962 DSC_0964 DSC_0973