TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, December 26, 2012

CHRISS BROWN NA RIHANNA WATOKA PAMOJA X-MASS KWENDA KUSHUHUDIA LIGI YA KIKAPU
Rihanna na Chriss Brown wakiwa beneti huku Rihanna akilaza kichwa chake kwa Brown wakati wakifuatilia mechi kali ya Ligi Kuu ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA) kati ya New York Knicks na Los Angeles Lakers mjini Los Angeles, jana Desemba 25, 2012. Lakers ilishinda kwa pointi 100-94 (Picha: REUTERS).

Mapenzi ni furaha kama unavyowaona wawili hao wakiwa na nyuso za furaha

Pozi muhimu  kuna la kusema hapo jamani!


Wanacheeeeeeeka...! Wasanii Chris Brown (kushoto) na Rihanna wakifurahi wakati wakiwa wameketi pamoja kushuhudia mechi kali ya Ligi Kuu ya Mpira wa Kikapu katia ya New York Knicks na Los Angeles Lakers mjini Los Angeles, jana  Desemba 25, 2012. Lakers ilishinda kwa pointi 100-94 (Picha: REUTERS)
 

No comments:

Post a Comment