TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, December 22, 2012

MTANZANIA AIBUKA MSHINDI MISS EAST AFRICA
Joyceline akiwapungia mkono mashabiki baada ya kutangazwa mshindi.
Joyceline akijieleza kabla ya kutangazwa kuwa mshindi
Zawadi ya gari alilozawadiwa baada ya kushinda
Waliofanikiwa kuingia tano bora

MSHIRIKI wa Tanzania katika Shindano la Miss East Africa 2012, Jocelyne Diana Maro, jana ameibuka kidedea katika fainali zilizofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.

Ushindi huo umemfanya Jocelyne azawadiwe Dola 30,000 ambazo ni pamoja na gari aina ya Mazda lenye thamani ya Dola 15,000 na mkataba wa kufanya kazi na Miss East Africa Organization wenye thamani ya Dola 15,000.


No comments:

Post a Comment