JK.AKABIDHI NYUMBA 35 ZA WAATHIRIKA WA MABOMU YA GONGO LA MBOTO
  | 
| Bila
 kujali mvua kubwa inayonyesha, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiakata 
utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa nyumba mpya 35 ambazo serikali 
imewajengea waathirika wa mabomu Gongo la Mboto katika eneo la Msogole, 
Toangoma, Wilaya ya Ilala leo Desemba 13, 2012 | 
  | 
| Bila
 kujali mvua kubwa inayonyesha, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua 
kitambaa  kuashiria uzinduzi rasmi wa nyumba mpya 35 ambazo serikali 
imewajengea waathirika wa mabomu Gongo la Mboto katika eneo la Msogole, 
Toangoma, Wilaya ya Ilala leo Desemba 13, 2012 | 
  | 
| Baadhi
 ya  nyumba mpya 35 ambazo serikali imewajengea waathirika wa mabomu 
Gongo la Mboto katika eneo la Msogole, Toangoma, Wilaya ya Ilala kama 
zinavyoonekana  leo Desemba 13, 2012 baada ya kuzinduliwa na Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete | 
  | 
| Baadhi
 ya  nyumba mpya 35 ambazo serikali imewajengea waathirika wa mabomu 
Gongo la Mboto katika eneo la Msogole, Toangoma, Wilaya ya Ilala kama 
zinavyoonekqana  Desemba 13, 2012 baada ya kuzinduliwa na Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete | 
 
No comments:
Post a Comment