TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, December 15, 2012

FM ACADEMIA WASHEREKEA MIAKA 15 YA BENDI YAO
 Rais wa bendi ya FM Academia Bw. Nyoshi El Saadat na waliokuwa wakurugenzi wa bendi hiyo miaka ya nyuma Abas Mwinyi Sadamu Hussein kushoto na Felician Chaula kulia kwa Nyoshi El Saadat pamoja na warembo mashabiki wa bendi ya FM Academia wakikata keki kwa pamoja,  wakati sherehe ya Bendi hiyo kutimiza miaka 15 ya huduma yake katika kutoa Burudani nchini Tanzania, iliyofanyika kwenye klabu ya Msasani jijini na kuambatana na onyesho kubwa na la kukata na shoka lililoshirikisha Mashabiki, Wadau na watu wa karibu na bendi hiyo ,

Vijana wa FM Academia wakifanya vitu vyao jukwaani usiku huu kwenye ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment