MSHINDI WA MAISHA PLUS AKABIDHIWA KITITA CHAKE
Meneja
 wa Benki ya NMB, Tawi la Makao Makuu,Benadicta Byabato (kushoto) 
akimkabidhi mshindi wa Shindano la Maisha Plus Seasons 3,Bernick Kimiro 
kitita cha Shilingi Milioni 20 baada ya kuibuka mshindi katika shindano 
hilo lililomalizika juma lililolipita jijini Dar es Salaam.
 
No comments:
Post a Comment