TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, December 15, 2012

JK KWENYE SHEREHE YA WENYE VIWANDA
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Distilleries Bw David Mgwassa kombe la
ushindi wa mwaka wa uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) usiku wa kuamkia leo(jana) Ijumaa
Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn. Kulia ni Mwenykiti wa makampuni ya IPP Dkt. Rginald Mengi na Kushoto ni Bw. Arnold Kileo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wafanyakazi na wadau wa Tanzania Distilleries bada ya kunyakua kombe la
ushindi wa mwaka wa uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) usiku wa kuamkia leo(jana) Ijumaa
Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn.

PICHA NA IKULU


No comments:

Post a Comment