TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, June 12, 2014

Walichoamua kufanya Balotelli na mchumba wake kabla ya kombe la dunia

balotelli-neguesha-di-nuovo-amore-645
Wakiwa nchini Brazil tayari kwa kushiriki michuano ya kombe la dunia inayoanza alhamisi hii – Mario Balotelli na mpenzi wake mwanamitindo Fanny Nageusha waliamua kufungua ukurasa mpya wa mapenzi yao.
Usiku wa kuamkia jana Mario Balotelli alipiga hatua moja mbele kwenda kuhalalisha mahusiano yake na mrembo Fanny baada ya kumchumbia rasmi.
Balotelli alitumia akaunti yake ya mtandao wa Twitter kuwaambia mashabiki na rafiki zake kwamba Fanny amekubali kuolewa nae.

Baada ya muda kidogo mrembo Fanny nae akatumia akaunti yake ya Instagram kuonyesha pete aliyovalishwa na Balotelli.
article-2653722-1EA0683000000578-406_634x635

No comments:

Post a Comment