TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, June 10, 2014

Kilichotokea baada ya Beckham kuwaalika Zidane, Lucas Moura na Bale nyumbani kwake hiki hapa

article-2651173-1E8C64A000000578-593_964x386Unadhani nini kitatokea pale magwiji wa soka duniani kama David Beckham na Zinedine Zidane wanapokaa na wadogo zao Lucas Moura na Gareth Bale kuangalia mechi ya soka nyumbani kwa mmoja wao.
Kwenye tangazo jipya la kampuni ya Adidas, wanaonekana wachezaji hao –    Zinedine Zidane, Moura, Bale wakiwa kwenye jumba la Beckingham Palace linalomilikiwa na Beckham – wakitazama mpira wa michezo ya game, ghafla wanne hao wanaanza kubishana juu ya kucheza soka na mwishowe wanaamua kuonyesha namna ya kucheza, wakigeuza sebule ya jumba la Beckham uwanja.

No comments:

Post a Comment