TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, June 13, 2014

Picha 32 baada ya moto kuteketeza soko la mitumba Karume.

Image00067
Kwa mujibu wa mashuhuda kadhaa waliokuwepo katika eneo la tukio tangu moto huo unatokea, Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana ingawa wana wasiwasi na hitilafu ya  umeme iliyojitokeza usiku wa June 10.
Image00047
Moto huo ulianza kuwaka majira ya saa 4 usiku ambapo iliwachukua zaidi ya saa moja kikoasi cha zima moto na uokoaji kufika eneo la tukio. Baadhi ya Wafanyabiashara ambao bidhaa zao zimeteketea kwa moto wamesema kuwa wamepata hasara kubwa ambayo haielezeki kwani baadhi yao wameshindwa kuokoa hata kitu kimoja.
Soko la Karume ni miongoni mwa masoko makubwa ya mitumba yanayotumiwa na wakazi wengi wa jiji la Dar es salaam na maeneo jirani kutokana na urahisi wa bei wa bidhaa zinazopatikana hapo.
Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa asubuhi ya leo baada ya tukio hilo ikionyesha madhara makubwa yaliyotokea baada ya ajali hiyo mbaya.
Image00050
Image00049
Image00046click hapa zinaendelea

Image00041
Image00038
Image00037

Image00035
Image00034
Image00033
Image00032
Image00028
Image00024
Image00011
Image00017
Image00020
Image00022
Image00009
Image00008
Image00005
Image00051
Image00063
Image00086
Image00081
Image00079
Image00077
Image00076
Image00066

Image00068
Image00073
Image00074

No comments:

Post a Comment