TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, June 2, 2014

Habari mpya kuhusu Chris Brown na kesi zake mahakamani

brown
Licha ya video yake ya Loyal kuendelea kumuweka pazuri kwenye soko lake la muziki,  bado kwenye maisha binafsi ya Chris Brown mambo yake hayapo vizuri.
Siku ya May 9 Chris Brown alihukumiwa siku 131 kwenda jela kwa baada ya kwenda tofauti na masharti aliyopewa kutokana na kesi ya Rihanna.
Chris Brown hivi sasa ameachiwa huru baada ya kukaa jela siku 108 na miezi michache ijayo kesi yake nyingine ambayo ilitokea Washington D.C itaanza kusikilizwa.

No comments:

Post a Comment