TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, June 25, 2014

MULTCHOICE AFRICAYAKUTANA NA WADAU WAKE MAURITIUS 


Mtendaji Mkuu wa MultChoice Afrika,Nico Meyer akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya ufunguzi wa Mult Choice Africa Extravaganza uliofanyika leo kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Trou Aux Biches,Morisi ndani ya Kisiwa cha Mauritius.Hafla hiyo imekusanya wadau mbali mbali wa MultChoice barani Afrika,ambapo Kampini hiyo itakuwa ikinyesha mambo mbali mbali wanayojihusisha nayo kwenye vipindi mbali mbali vya Televisheni zao za DStV na GoTV.Picha zote na Othman Michuzi.

Meneja wa MultChoice kwa Ukanda wa Afrika Magharibi,Bi. Wangi Mba-Uzoukwu nae alipata wasaa wa kuzungumza machache wakati wa tafrija hiyo ya ufunguzi wa Mult Choice Africa Extravaganza uliofanyika leo kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Trou Aux Biches,Morisi ndani ya Kisiwa cha Mauritius.

Aki akiingia kwenye kipindi hicho kwa mbwembwe (J M)

Muigizaji wa Filamu toka Nigeria,Ritha Dominic akijibu maswali ya moja kwa moja kutoka kwa wadau mbali mbali wa filamu za Kinigeria waliopo ukumbini hapo.

Msanii Nassib Abdul a.k.a Diamond ni mmoja kati ya wasanii saba kutoka barani afrika walioshiriki kutuna na kuimba wimbo wa Africa Rising,pichani ni katika sehemu alioimba Diamond ilipokuwa ikionyeshwa kwenye ukumbi wakati wa kuuzindua wimbo huo.
CHANZO: MICHUZI

No comments:

Post a Comment