10 WAUAWA KATIKA KIJIJI NCHINI NIGERIA

Takriban 
watu kumi wameuawa katika shambulizi la kijiji kimoja kazkazini 
mashariki mwa Nigeria,karibu na eneo ambalo zaidi ya vijana 200 
walitekwanyara mnamo mwezi Aprili.
Wakaazi wanasema kuwa watu waliojihami walivamia kijiji cha Korongi-nim kilichopo takriban kilomita 14 kutoka Chibok ambapo wasichana hao walitekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram.
        Wakaazi wanasema kuwa watu waliojihami walivamia kijiji cha Korongi-nim kilichopo takriban kilomita 14 kutoka Chibok ambapo wasichana hao walitekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram.
Kiongozi moja wa eneo hilo ameiambia BBC kwamba wanamgambo hao walikichoma kijiji chote cha Koronginim.
Ripoti pia zinaarifu kuwa kundi hilo limedaiwa kuwatekanyara wanaume na wasichana kutoka kijiji chengine katika jimbo la Yaza siku ya alhamisi
CHANZO BBC
No comments:
Post a Comment