FILAMU YA DASMILA INATARAJIA KUINGIA SOKONI MWISHONI MWA MWEZI HUU

FILAMU ya DASMILA inatarajia kuingia
sokoni mwishoni mwa mwezi huu akizungumza katika safu hiiMkurugenzi wa
DJ Marketing & Promotion ambao ndio wasambazaji wa kazi hiyo,Haulle
Daniel amesema kazi hiyo ime kamilika kwa asilimia zote hivyo wapenzi wa
filamu wakae mkao wa kula kwani imewashilikisha wasanii wengi akiwemo
Shamsa Frod,Jack Pentzel, Elias Mkali, Shaban Dicosta na wasanii wengine
wanaotamba katika anga za filamu nchini.(P.T)
Filamu hiyo ya mapenzi ambayo kuna mambo mbalimbali ya kuelimisha jamii ya kitanzania ambapo DASMILA
aliyeuawa kipindi cha nyuma kidogo, arudi tena kama mzimu, na mengi
yanatokea. Fuatilia.. Familia, vichekesho na vimbwanga, mapenzi, kukosa
uaminifu, visa na mikasa kibao
ambayo yatapatikana katika filamu hiyo ambayo imetengenezwa kwa ubora wa ali ya juu na itakayokuwa ikisambazwa na kampuni ya kizalendo ya DJ Marketing ya jijini Dar es salaam.
ambayo yatapatikana katika filamu hiyo ambayo imetengenezwa kwa ubora wa ali ya juu na itakayokuwa ikisambazwa na kampuni ya kizalendo ya DJ Marketing ya jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment