TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, October 30, 2013

Ripori ya ajali ya Treni Nairobi October 30 2013

kenya bus 4
Hii ajali imegharimu maisha ya watu kumi na mbili pamoja na wengine kujeruhiwa baada basi lililokua likiwaisha watu katikati ya jiji la Nairobi kugongwa na treni kwenye eneo ambalo vibanda vinadaiwa kusogelea reli hivyo ni ngumu kuona kama treni inakuja.
Hata hivyo Citizen TV wameripoti kwamba tayari dereva Edward Githae (43) wa basi amekamatwa na atafikishwa Mahakamani wakati wowote kutoka sasa ambapo abiria mmoja aliejeruhiwa anasema dereva huyu alisimamishwa na polisi kwa kupewa onyo kwamba asivuke kwa sababu kuna Treni inapita ila alikaidi agizo na kupitiliza matokeo yake yakawa hii ajali.
Kenya bus 3
kenya bus 2
Kenya bus 1

No comments:

Post a Comment