TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, October 29, 2013

Picha za ajali ya pili aliyoipata David Beckham na mwanae

7
Staa wa soka David Beckham (38) pamoja na mtoto wake wa kwanza aitwae Brooklyn walipata ajali ndogo nje ya nyumba yao huko Beverly Hills Marekani baada ya gari lao kugongana na gari jingine wakati wakitoka nyumbani.
Hakuna alieumia kwenye hii ajali ambayo iliihusisha Range Rover ya Beckham yenye thamani ya dola za Kimarekani elfu 75 ambapo iliumia sehemu ya mbele na mashuhuda wanasema baada tu ya ajali David Beckham hakuondoka kwenye eneo la tukio, alichofanya ni kusubiri Polisi.
Hii inakua ajali ya pili ya gari kwa Beckham kuipata akiwa na mtoto wake huyu wa kwanza mwenye umri wa miaka 14, kama unakumbuka ajali ya kwanza waliipata mwaka 2011 huko Los Angeles ambapo hakuna aliejeruhiwa.
1
4
6
2
5

No comments:

Post a Comment