Alichosema David Beckham kuhusu kumkosoa Sir Alex Ferguson juu ya ile kauli

Pamoja na hayo maneno ambayo ndio yalipewa headlines za kutosha huku wengi wakiamini kwamba yatamkasirisha Beckham, staa huyu ameileta hii ishu kwenye upande mwingine baada ya kusema hawezi kumponda Sir Ferguson wala kusema chochote kibaya kuhusu Mwanaume huyu aliesababisha ndoto zake za kuwa staa wa soka kutimia.

Beckham ambae amepongezwa na wengi kwa hekima hii, anakwambia ‘Sir Ferguson ndio aliniamini na kunipa nafasi, siwezi kukaa hapa kuongea mabaya au kumkosoa mtu alienifanya niishi kwenye ndoto yangu niliyoitaka toka kitambo’
No comments:
Post a Comment