TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, October 15, 2014

UCHAGUZI MSUMBIJI KUFANYIKA LEO 


Mabango ya wagombea mbalimbali wanaowania nafasi za uongozi nchini Msumbiji.
Msumbiji leo inafanya uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia wa rais, wabunge na wawakilishi wa majimbo tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno.
Zaidi ya watu milioni 10 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa leo, ambao unaonekana kuwa wa kwanza kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa Wareno mwaka 1975.
Zoezi la upigaji kura linatarajiwa kuanza saa tatu kwa saa za Afrika mashariki.
BBC SWAHILI

No comments:

Post a Comment