TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, March 24, 2014

Washiriki shindano la Maisha Plus waingia kijijini rasmi 

2c_8880f.jpg
Uzinduzi wa Kijiji cha Maisha Plus; Jana washiriki wapatao 29 waliingia katika kijiji cha Maisha Plus kuanza kukabiliana na changamoto za maisha kuwania shilingi milioni 25 za Kitanzania. Pichani ni Mkuu wa Kijiji...Mwite babu wa kaya akiwepo kuhakikisha wanakijiji wanakaribishwa kwa shangwe kijijini hapo.
1_d2b0b.jpg
Ofisa Mtendaji wa Kampuni ya dMb ambao ni wamiliki wa Maisha Plus, Masoud Ally (Masoud kipanya kulia) akizungumza katika uzinduzi wa Kijiji cha Maisha Plus, ambapo jana washiriki wapatao 29 waliingia kijijini kuanza kukabiliana na changamoto za maisha kuwania shilingi milioni 25 za Kitanzania.
2_8d6ce.jpg
Mmoja ya wawakilishi toka Oxfam ambao ni wadhamnini wa Maisha Plus 2014 akizungumza machache. Pembeni yake ni Afisa mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Masoud kipanya).
6_3d207.jpg
Safari ya kuelekea kijiji cha Maisha Plus imeanza rasmi... washiriki wakiwa wamebeba mabegi yao ambapo kila mmoja alibeba mzigo wake mwenyewe kwa kutembea kwa miguu umbali wa kilometa 1.5. (J.G)
7_61dae.jpg
9_30fd5.jpg
3_c40bc.jpg
4a_f4851.jpg
Wadau kutoka Oxfam wakibadilisha mawazo mara baada ya kufika katika tukio la uzinduzi wa wawashiriki kuingia kijijini.
3a_fac35.jpg
Kazi ya kujenga nyumba za kuishi washirki wa maisha plus ikiendelea... ambapo washiriki hao walitakiwa kujenga nyumba zao za kuishi ndani ya masaa 48.
11_9006d.jpg
Wengine waliamua kulala ili waweze kunyoosha mgongo.

No comments:

Post a Comment