Alichoamua kufanya Messi baada ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Barca


Messi aliivunja rekodi hiyo kwa kufikisha mabao 371, baada ya kupiga
hat trick dhidi ya Osasuna, na katika kusherehekea rekodi hiyo – Messi
aliamua kuvaa jezi ya Paulinho Alcantara pamoja na mpira – vifaa vya
michezo ambavyo Alcantara alivitumia miaka ya 1920s.
No comments:
Post a Comment