TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, March 10, 2014

WAFANYABIASHARA YA MADINI YA MCHANGA,KOKOTO NA MAWE WAANDAMANA MPAKA KWA MKURUGEZI WA JIJI LA MBEYA 

maandamano_mbeya_02b8b.jpg
Wafanyabiashara ya Madini ya mchanga,kokoto na mawe Jiji la Mbeya wameandamana leo kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji kwa kutumia maroli kupinga waraka wa Wizara ya Nishati na Madini unaowataka watumiaji wa bidhaa hiyo kulipia shilingi elfu mbili mia tano kuanzia Machi 3 mwaka huu.
(J.G)

No comments:

Post a Comment