Unaitaka list ya leo ya Wanasoka 10 tajiri duniani, vp Rooney, Ronaldo na Messi je?

Ni
 miongoni mwa zile stori ambazo mashabiki wengi hupenda kuzifahamu au 
hata kuziongelea kwenye vijiwe mbalimbali lakini uhakika umetolewa na 
mtandao unaodili na stori za soka kwa sana.
Katika listi hiyo iliyotajwa leo, Ronaldo amemrithi David Beckham 
ambaye alistaafu soka mwishoni mwa msimu uliopita ambapo Ronaldo ana 
utajiri wa paundi millioni 122.
Lionel Messi ameshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa paundi 
millioni 120, nafasi ya tatu imekamatwa na muafrika pekee kwenye listi 
hii ambae ni Samuel Etoo mwenye utajiri wa paundi millioni 70, Rooney anafatia kwa utajiri wa paundi millioni 69 huku Kaka akishika nafasi ya 5 kwa utajiri wa paundi millioni 67.
Listi inaendelea kama ifuatavyo
No comments:
Post a Comment