TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, September 25, 2013

UZINDUZI WA KITABU CHA MWONGOZO WA UTAWALA BORA.

 1_b117b.jpg

Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki akizindua Kijitabu cha "Mwongozo wa Utawala Bora" uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam.
2_c2648.jpg
 Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki akionesha kijitabu cha "Mwongozo wa Utawala Bora" alichokizindua leo makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.(P.T)
3_bdc4a.jpg
Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki akiongea na washiriki waliohudhuria uzinduzi wa kijitabu cha "Mwongozo wa Utawala Bora" leo katika ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) zilizopo mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu).
4_5ec43.jpg
Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu) akimkaribisha mgeni rasmi Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki na wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Kijitabu cha "Mwongozo wa Utawala Bora" uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam. (Katikati) ni Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki, Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyeki wa THBUB Mahfoudha Alley Hamid.
5_8dfd6.jpg
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Mary Massay akiwasisitiza washiriki wa hafla ya uzinduzi wa Kijitabu cha "Mwongozo wa Utawala Bora" uliofanyika katika ofisi za THBUB zilizopo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam. Wakwanza ni ni Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki (katikati) ni Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu).
6_3a067.jpg
Picha ya pamoja ya Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki baada ya kuzindua Kijitabu cha "Mwongozo wa Utawala Bora" uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Eleuteri Mangi- Maelezo)

No comments:

Post a Comment