TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, September 26, 2013

KUNDI LA CASH MONEY, RATOA MSAAA KWA WAGOJWA HOSPITALI YA TEMEKE 

IMG_6296_cb8b7.png
Wana kikundi cha Cash Money wakiwa tayali kwa kutoa msaada katika hospitali ya Temeke

 IMG_6323_71b9e.png

Mlezi wa Kikundi cha Cash Money ,Ratifa Masasi kulia akimkabibi muhuguzi wa wodi ya watoto bi, Nuswe Ambokile zawai mbalimbali walizoleta kwa ajili ya watoto waliolaza katika hospital ya Temeke(P.T)
IMG_6334_056bd.png

Baadhi ya wana kikundi cha Cash Money wakiwa katika picha ya pamoja na wahuguzi wa word ya watoto Hospitali ya temeke baada ya kukabidhi msaada

IMG_6341_cad36.png
Mlezi wa kikundi cha Cash Money akimfaliji mama Samir Nassoro, Naomi Ramadhani walipokutana wakati kundi hilo likitoa msaada kwa wagojwa katika hod ya watoto
IMG_6348_4f7a9.png
Baadhi ya wanachama wa kikundi cha Cash Money wakimfariji Bi Naomi Ramadhani
IMG_6371_7b797.png
Msanii wa bendi ya Msondo ngoma Saddy Ally katikati akisalimiana na wanakikundi cha cash money walipokutana katika hospitali ya Temeke wakitokea kutoa msaada
IMG_6380_e0798.png
Wana kikundi wa chass money kushoto Amina Uredi 'Mmanyema ' na Zulfa Kasongo
IMG_6339_0a631.png
Mlezi wa kikundi cha cash money bi, Ratifa Masasa akimfariji mtoto Salimu Ally wakati walipokwenda kutoa msaada katika hospitali ya temeke dar es salaam mwingine ni mama mtoto Tabu Salumu mkadhi wa 
Tandika
Na Mwandishi Wetu
MSANII nguli wa muziki wa dansi aliyestaafu, Muhidini Gurumo, atapanda jukwaani leo kutumbuiza na mkewe, sambamba na kupewa zawadi za heshima.
Gurumo atatoa burudani hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwaaga mashabiki, ambapo shughuli hiyo itaambatana na uzinduzi wa kundi la Cash Money, la Tandika mjini Dar es Salaam.
"Tumeandaa zawadi kwa mzee Gurumo kutokana na heshima kubwa aliyonayo katika tasnia ya muziki na kujenga maadili kwa taifa kutokana na nyimbo zake.
Hivyo zawadi zetu zitaenda sambamba na uzinduzi, ambapo tumepanga hivyo, ili lee mwenye chochote ampe mzee wetu,"Aliongeza Latifa Masasi mlezi wa kundi hilo.
Uzinduzi huo unafanyika kwenye ukumbi wa Equator Grill, Mtoni kwa Aziz Ali, Dar es Salaam na utapambwa na bendi mbalimbali za taarabu zikiwemo Coast na G Five.
Kundi la Cash Money ambalo lilianzishwa mwaka 2011, pia limetoa vitu mbalimbali kwa wodi ya watoto, na vituo vya watoto yatima jana, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi huo, Licha ya kuwatembelea wagonjwa hospitalini hapo pia watetoa misaada ya vitu mbalimbali katika vituo vya watoto yatima kilichopo Mtoni mtongani na Tandika. Hata hivyo Muuguzi wa wodi ya watoto vifaa vya kutendea kazi ni vichache kama oxygen machine ipo moja na watoto ni wengi wanaohitaji huduma. Hivyo ameomba mashirika mengine yajitokeze kutoa msaada wa vyombo vya kutendea kazi.

No comments:

Post a Comment