TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, September 22, 2013

MWANAHARAKATI NA MWASIASA MASHUHURI WA CHINA AHUKUMIWA JELA MAISHA

zzzzzzbo_xilai_AP577399884372_620x350_41e5c.jpg
Aliye wahi kuwa mwanaharakati na mwanasiasa mashuhuri wa China, Bo Xilai hatimaye amehukumiwa kwenda jela maisha kwa makosa ya kupokea rushwa, kutumia madaraka vibaya na kujinufaisha kibinafsi kwa kutumia mafadaraka yake ya kisiasa.
Mwanasiasa huyo kadai kesi na hukumu ni ya kupikwa juu yake ili kummaliza kisiasa na wabaya wake,(P.T)
Kwa asilimia kubwa mahakama nchini China sio huru na zimekuwa na historia ndefu ya kutoa hukumu kwa shinikizo la watawala.
Bo Xilai alikuwa wakati wote akitabasamu wakati akisomewa hukumu huku akidai kuwa anaamini kuna wakati haki itachukua mkondo wake juu ya hukumu aliyopewa

No comments:

Post a Comment