TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, June 24, 2013

OMMY DIMPOZI AAMUA KUOMBA RADHI TENA KWA YALE MATAMSHI YAKE , BAADA YA KUPIGWA MAWE JUKWAANI DODOMA.

Ommy Dimpoz  kwa  mara  nyingine  ameamua  kupaaza  sauti  yake  na  kuwaomba  watanzania  wamsamehe  kwa  kauli  zake  mbaya  kuhusu  marehemu  Ngwea....
Sambamba  na  msamaha  huo,Ommy  anadai  kuwa  amejifunza  kutokana  na  kosa  lake  na  kwamba  hatarudia  tena...
Uamuzi  wa kuomba  msamaha  kwa  mara  ya  pili  umekuja  baada  ya  msanii  huyu  kupigwa  mawe  mjini  Dodoma  hivi   juzi
Hii  ni  kauli  yake  kupitia  ukurasa  wake  wa  facebook:

No comments:

Post a Comment