KHADIJA KOPA AKIELEKEA UWANJA WA NDEGE JANA KWA AJILI YA MSIBA WA MUMEWE JAFFARI ALLY
Khadija Kopa akilia kwa uchungu mara baada ya kupata taarifa za mumewe kufariki.
Akipewa sapoti wakati akielekea uwanja wa ndege.
Baadhi
 ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda wakimsindikiza 
kupanda ndege msanii wa taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija 
Omar Kopa kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya 
kufiwa na mumewe Jaffari Ally Yussuf aliyefariki dunia jana alfajiri. Bi 
Khadija Kopa alikuwa akitokea kwenye maadhimnisho ya siku ya Mazingira 
Duniani kitaifa yaliyoadhimishwa Namanyere Mkoani Rukwa juzi.

No comments:
Post a Comment