TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, August 29, 2013

WENGER AMSAJILI FLAMINI KWA MKATABA WA MIAKA MITATU

flamini 36655
Arsene Wenger amefanya usajili wa pili katika dirisha hili la usajili linaloelekea mwishoni kwa kumsajili kiungo wa zamani wa timu Mathieu Flamini kwa uhamisho wa bure kutoka AC Milan. (HM)
Kiungo huyo ambaye aliondoka Gunners mwaka 2008 kujiunga na AC Milan, amesaini mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya £40,000 kwa wiki.
Flamini, 29, ni mchezaji wa pili kusajiliwa baada ya mshambuliaji kinda wa kifaransa Yaya Sanogo, ambaye amejiunga na Arenal akitokea Auxerre bure.

Flamini amekuwa akifanya mazoezi na Arsenal wakati wote wa pre season baada ya kuachwa na AC Milan mwishoni mwa msimu uliopita. Chanzo: Sportmail

No comments:

Post a Comment