TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, August 19, 2013

MATUKIO YA PICHA KATIKA IBADA YA JUMAPILI ILIYOFANYIKA KATIKA KANISA LA GOODS NEWS FOR ALL NATIONS (HABARI NJEMA) LILILOPO MAJOHE - WARIOBA.
Mchungaji Starfford Godson Jacob akiwa na mke wake mpenzi, watumishi hao Mungu amekuwa akiwatumia kwa njia ya pekee katika huduma waliyopewa na Bwana
Mchungaji akiwa anafundisha waumini neno la Mungu juu ya kuvunja madhabahu za shetani na kujenga madhabahu ya Bwana iliyo takatifu

Kwaya ya Vijana ya Kanisa ikiwa inamwimbia Bwana wakati ibada ikiwa inaendelea
Waumini wakiungana na Mchungaji wakiwa wapo kwenye maombi ya kuvunja madhabahu na kujenga madhabahu ya Bwana baada ya kupatiwa mafundisho na Mchungaji

Maombi yakiendelea

Watu wakiwa wameshukiwa na nguvu za Roho Mtakatifu wakiendelea na maombi

Watenda kazi wa Bwana wakiwa katika huduma ya maombezi kwa binti aliyekuwa ameshikwa na mapepo
Mchungaji akiwa amebeba mtoto aliyekuwa amepotea katika mazingira ya ajabu kwa muda wa wiki mbili na mtoto huyo alipatikana baada ya baba yake kuleta hitaji hilo kanisani na kufanyiwa maombi kwa muda wa siku moja , Pembeni ni baba wa huyo mtoto akitoa hushuhuda  yale Mungu aliyomtendea baada ya kuangaika kwa waganga wa kienyeji na kushindikana kumpata mtoto wake


Mchungaji akimuombea binti aliyekuwa akisumbuliwa na nguvu za giza

Mchungaji akimuombea mama huyu aliyekuwa anasumbuliwa na mapepo

Huduma ya maombezi ikiendelea

Huduma ya maombezi ikiendelea kwa binti nae aliyekuwa ansumbuliwa na mapepo

Binti akitapika vitu vichafu alivyolishwa na mapepo wakati nguvu za Mungu zilipomtembelea

Mchungaji akimuombea mama huyo mgonjwa aliyekuwa hajiwezi alipoletwa kanisani


Huduma ya maombezi ikiendele.
Wapendwa tusiishie tu kuangalia matukio katika blog nawe pia unakaribishwa kuja kuabudu haijalishi upo katika dhehebu yani njoo uabudu uone vile Mungu atakutembela kwa njia ya pekee atakavyo yeye kwa kumtumia Mtumishi wake ambaye amemtuma kwa ajili yako. kwa mawasiliano zaidi 0713055459/0656 507130 , ukiwa na tatizo piga utaweza kupatiwa maelezo. Nawatakia siku njema Asante.

No comments:

Post a Comment