TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, August 15, 2013

MAN UNITED WAJIPANGA UPYA KWA FABREGAS

fab d3bbc
KLABU ya Manchester United itafanya jaribio lingine la mwisho katika harakati za kuinasa saini ya Cesc Fabregas kutoka Barcelona ikiwa kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania atakosa namba mwanzoni mwa msimu katika timu hiyo ya Nou Camp.
P.T

United ineokana bado kuwa na nia na Fabregas licha ya mchezaji huyo kusema wiki iliyopita kwamba anataka kubaki katika klabu yake ya sasa. "Tunaheshimu uamuzi wa Cesc,"ilisema United.
Jaribio la mwisho: Manchester United itapeleka ofa ya mwisho kwa ajili ya Cesc Fabregas licha ya yeye mwenyewe kusema anataka kubaki.(BIN ZUBEIRY)

No comments:

Post a Comment