TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, August 28, 2013

MMAREKANI PHIL WILLIAMS kupambana na CHEKA IJUMAA 

box 897aa
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa na bondia Phil Williams wa marekani baada ya kutua nchini kwa ajili ya mpambano wake na Francis Cheka utakaofanyika August 30 siku ya ijumaa hii katika ukumbi wa Diamon Jubilee jijini Dar es salaam. (HM)

box2 12c0e
Bondia Phil Williams wa marekani akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa mchezo huo kushoto ni promota Jay Msangi kulia ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 'Super D wengine ni wadau waliokuja kulaki uwanja wa ndege.
box3 32db8
Bondia Phil Williams wa marekani akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa WBUChanzo: www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment