WAZIRI MEMBE AZUNGUMZIA KUHUSU URAIA WA NCHI MBILI

Serikali ya Tanzania iko mbioni 
kuwaruhusu wananchi wake kuwa na uraia wa nchi mbili baada ya kubaini 
kuwa idadi kubwa ya raia walioko nchi za ng'ambo wanakosa fursa za 
kushiriki kwenye shughuli za kimaendeleo.
Serikali ya Tanzania iko mbioni 
kuwaruhusu wananchi wake kuwa na uraia wa nchi mbili baada ya kubaini 
kuwa idadi kubwa ya raia walioko nchi za ng'ambo wanakosa fursa za 
kushiriki kwenye shughuli za kimaendeleo.(P.T)
Katika kufanikisha shabaha yake hiyo, 
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe
 amepeleka pendekezo rasmi kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akitaka 
akitaka suala la uraia wa nchi mbili kitambulike kwenye katiba ijayo. 
Mwenzetu George Njogopa alikutana na Waziri Membe jijini Dar es saalam 
na kumuuliza sababu za kupekeka mapendekezo hayo katika tume ya 
mabadiliko ya katiba.
No comments:
Post a Comment