TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, August 28, 2013

WAZIRI MEMBE AZUNGUMZIA KUHUSU URAIA WA NCHI MBILI 

membe_uraia_e153f.jpg
Serikali ya Tanzania iko mbioni kuwaruhusu wananchi wake kuwa na uraia wa nchi mbili baada ya kubaini kuwa idadi kubwa ya raia walioko nchi za ng'ambo wanakosa fursa za kushiriki kwenye shughuli za kimaendeleo.
Serikali ya Tanzania iko mbioni kuwaruhusu wananchi wake kuwa na uraia wa nchi mbili baada ya kubaini kuwa idadi kubwa ya raia walioko nchi za ng'ambo wanakosa fursa za kushiriki kwenye shughuli za kimaendeleo.(P.T)
Katika kufanikisha shabaha yake hiyo, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe amepeleka pendekezo rasmi kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akitaka akitaka suala la uraia wa nchi mbili kitambulike kwenye katiba ijayo. Mwenzetu George Njogopa alikutana na Waziri Membe jijini Dar es saalam na kumuuliza sababu za kupekeka mapendekezo hayo katika tume ya mabadiliko ya katiba.

No comments:

Post a Comment