TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, May 27, 2015

Kikao na mapendekezo ya majimbo mapya ya uchaguzi Dar 

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akiongoza kikao cha RCC, Ilala Boma jijini Jumanne Mei 26, 2015.
Kikao kilichowaleta pamoja Wabunge wote wa Dar es Salaam, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Manispaa zote tatu za Temeke, Ilala na Kinondoni, Watendaji wa Manispaa hizo, na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Mkoa, kimependekeza kuongezwa kwa majimbo zaidi ya uchaguzi kwenye jiji hilo lenye wakazi wanaokaribia milioni tano.
Majimbo pendekezwa waliyataja kuwa ni Kijichi wilayani Temeke, Chanika wilayani Ilala, Bunju na Kibambawilayani Kinondoni.
Mapendekezo hayo uatapelekwa tume ya taifa ya uchaguzi (NEC), kwa uamuzi wa mwisho.(P.T)

No comments:

Post a Comment