WALTER CHILAMBO NDIYE MSHINDI WA EPIQ BONGO STAR SEARCH
![]()  | 
| Walter Chilambo (Dar) akikabidhiwa kitita chake cha Sh. 50 million baada ya kuibuka mshindi wa BSS 2012. | 
![]()  | 
| Mkurugrnzi wa Kampuni ya Benchmark Production ambaye ni Chief Jaji Madam Lita akimpongeza kijana huyo baada ya kuibuka mshindi | 
![]()  | 
| Hawa ndio walioingia tatu bora ya fainali hizo Walter, Salma na Wababa | 
![]()  | 
| Salma na Walter walifanikiwa kubaki wawili na kuchuana | 
![]()  | 
| Wasanii hawa walipendeza na waliimba nyimbo zuri siku hiyo Linah na Amini mpo juu nimewakubali kwa vitu vyenu. | 
![]()  | 
| Majaji wa shindano hilo ndio hao Salama, Madam Lita na Master J | 
![]()  | 
| Mashabiki waliohudhuria fainal hiyo. | 








No comments:
Post a Comment