TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, November 10, 2012

WALTER CHILAMBO NDIYE MSHINDI WA EPIQ BONGO STAR SEARCH
Walter Chilambo (Dar) akikabidhiwa kitita chake cha Sh. 50 million baada ya kuibuka mshindi wa BSS 2012.
Mkurugrnzi wa Kampuni ya Benchmark Production ambaye ni Chief Jaji Madam Lita akimpongeza kijana huyo baada ya kuibuka mshindi
Hawa ndio walioingia tatu bora ya fainali hizo Walter, Salma na Wababa
Salma na Walter walifanikiwa kubaki wawili na kuchuana

Wasanii hawa walipendeza na waliimba nyimbo zuri siku hiyo Linah na Amini mpo juu nimewakubali kwa vitu vyenu.

Majaji wa shindano hilo ndio hao Salama, Madam Lita na Master J
Mashabiki waliohudhuria fainal hiyo.

No comments:

Post a Comment