MATUKIO YA KUSIKITISHA HAYA KWA WASANII NI VILIO TUPU MWAKA HUU
![]()  | 
| Marehemu Steven Kanumba | 
![]()  | 
| Marehemu Mlopelo | 
![]()  | 
| Marehemu John Maganga | 
![]()  | 
| Na huyu ndiye Sharo Milionea, ambapo leo ametufanya tuwe na huzuni kubwa sana kufuatia kifo chake | 
Poleni sana Wasanii wetu nchini kwa kuondokewa na wapenzi ambapo ni wachapakazi na vijana mahili katika Tasinia hiyo. Mungu awatie nguvu . Wote kwa ujumla tunamasikitiko makubwa sana kwa matukio hayo, lakini tunasema yote ni mapenzi ya aliyetuumba.




No comments:
Post a Comment