WASANII WALIONG'ARISHA TAMASHA LA TUZO ZA AMERICA MUSIC AWARDS
![]()  | 
| Rapa Nick Minaj akishukuru kwa tuzo ya msanii bora wa Rap/Hip-hop wakati wa tamasha la 40 la tuzo za American Music Awards | 
![]()  | 
| Justin Bieber akiwa na tuzo yake ya msanii bora wa kiume wa Pop/Rock | 
Wasanii wengi waliweza kupokea tuzo zao mbalimbali baada ya kuibuka washindi, Tamasha hilo lilifanyika katika ukumbi wa Nokia Theatre mjini Los Angeles,California Maerkani





No comments:
Post a Comment