CHEREKO : USIKU WA KIPENZI CHETU  DOROLOSA JOHN TWITU
Jionee mambo yalivyokuwa jamani eeeh we acha tuuuuu!
| Bi. Dorolosa akiwa na mpambe wake wametulia | 
| Bi. Dorolosa akiwa na mume wake mtarajiwa pamoja na wapambe wao | 
| Mtoto wa mujini Frolah katika pozi la ukweli | 
| Mdada ametulia hapo | 
| Ukitaka muite Mary wa ukweli amependaje angalia masikioni na nywele zake , asante dada! | 
| Wadau wakipata msosi | 
| Maakuli kama kawa, Msosi mtamu balaa | 
| Mtumbuizaji huyo a.k.a Kingwendu kaka anachekesha huyo jamani acha tu! | 
| Mheshimiwa huyo jamani! | 
| Wadau wakiserebuka hapo wote vitambaa vyeupe hewani | 
| Wamependezaje sasa ....acha tu | 
| Wenye ulemavu nao walitoa show kali | 
| Kicheko hicho dada .....utakitaka hasa usiwe na pengo | 
| Mhhhh mnateta nini jamani! | 
| Acha we mtu na shost wake kama una shost kajinyonge | 
| Tuite mapacha watatu ama ? ila mmependeza | 
| Asante Semeni na Dorolosa | 
| Nice umependeza | 
| Zawadi hiyo jamani! | 
| MC chuma lete maneno | 
| Mtoto umetulia | 
| Kwaito hilo mwanangu | 
| Masudi ukipenda muite Mzee wa Povu | 
| Hapo sasa sema wewe mie maneno yameisha , Asante dada ! | 
No comments:
Post a Comment