TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, November 3, 2012

BALOZI PETER KALLAGHE AKUTANA NA MAAFISA WA BODI TA UTALII TTB
Mhe.Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Balozi Peter Kallaghe




























Mh.Balozi wa Tanzania nchini Uingereza  Balozi Peter Kallaghe leo ameitisha mkutano kati yake na maafisa wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na maafisa wa Ubalozi ili kuzungumza nao na  kupata taarifa muhimu  juu ya maadandalizi ya ushiriki wa Tanzania katika maonyesho ya utalii ya (WTM),  yanayotarajiwa kuanza siku ya jumatatu Novema 5 mpaka Novemba 8 mwaka huu katika jiji la London.
Maonyesho ya Utalii ya (WTM)  yanayoandaliwa nchini Uingereza ni maonyesho makubwa  na yanashirikisha makampuni kutoka mataifa mbalimbali duniani kwa ajili ya kuuza bidhaa zao, hasa Mahoteli, Makampuni ya Ndege na makampuni ya Utalii, Mwaka huu Tanzania inashirikisha makampuni zaidi ya 55 kutoka Tanzania Bara na Visiwani.
Katika picha juu akisisitiza jambo katika mkutano huo, wakati wa mkutano huo ambapo aliza kila jambo ambalo linahitaji kupata majwabu muhimu kabla ya kuanza kwa maonyesho hayo.

No comments:

Post a Comment