TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, June 8, 2015

Safari ya ndege ikaahirishwa kwa zaidi ya saa mbili, ishu ni nyuki waliovamia kwenye engine !!

bee 
Nyuki waliwahi kuibua stoty kubwa baada ya kuvamia ndege aina ya Boeing 757 mwaka 1996 ambapo ndani ya dakika tano baada ya kuondoka ilikuwa ishu baada ya kugundulika kwamba sehemu ambayo inaonesha mwendokasi wa ndege imezibwa na kundi la nyuki.
Leo kuna hii stori kutoka Uingereza inayohusisha nyuki na ndege.. abiria walilazimika kukaa kwa masaa mawili baada ya nyuki kuingia kwenye moja ya mitambo ya injini za ndege, haikuwa salama sana ndege hiyo kuanza safari wakati kuna hali hiyo.
Ndege hiyo inayoitwa Flybe yenye namba BE384 ilikuwa ikitoka Southampton kuelekea Dublin.
Shirika linalomiliki ndege hiyo limesema isingekuwa salama sana wao kuendelea na safari wakati nyuki wako ndani ya injini, ilibidi watolewe na baadae safari yao ikaendelea..

No comments:

Post a Comment