PICHA YA MREMBO ALIYEUAWA NA MPENZI WAKE MWANARIADHA MREMAVU WA AFRIKA KUSINI
 |
Hii ni picha ya mchumba wa mshindi wa medali ya dhahabu wa riadha ya
walemavu wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius, aliyeuliwa kwa risasi
leo asubuhi na mpenzi wake huyo.
Gazeti la Beeld limeripoti kuwa mwanariadha huyo Pistorius alidhania
mpenzi wake huyo,Reeva Steenkamp waliyedumu naye kwa mwaka mmoja kuwa ni
jambazi aliyevamia nyumbani kwake Pretoria. Reeva alikuwa mwanamitindo
wa nchini Afrika Kusini aliyekuwa ameanza kupata mafanikio. |
 |
Oscar na Reeva
,Amefariki kutokana na majeruhi mkononi mwake na kichwani na tayari Pistorius amekamatwa na anakabiliwa na tuhuma za mauaji. |
No comments:
Post a Comment