TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, February 28, 2013

LINEX AMVISHA PETE MCHUMBA WAKE AMBAYE NI MZUNGU

Mambo ya madini  

Wapendanoooooooo safi sana

Full kuringishia madini!!
Weekend hii, mtu mzima Sunday Mjeda aka Linex aka Mr VOA (Voice Of Africa),alifanya yake kwa kumvisha pete mpenzi wake, ambae ni  ambae ni  mwenyeji wa Finland anaeitwa Suvi.

 According to sources Linex aliamua kufanya kimya kimya tena wakiwa wawili tu, kwasababu hakutaka kujionyesha, na anaamini ile ni kitu  very personal haikuhitaji manjonjo mengi.

Well hongera zao na tunawatakia kila la kheri.

No comments:

Post a Comment