LINEX AMVISHA PETE MCHUMBA WAKE AMBAYE NI MZUNGU
![]()  | 
| Mambo ya madini | 
![]()  | 
| Wapendanoooooooo safi sana | 
![]()  | 
| Full kuringishia madini!! | 
Weekend hii, mtu mzima Sunday Mjeda aka Linex aka Mr VOA (Voice Of 
Africa),alifanya yake kwa kumvisha pete mpenzi wake, ambae ni  ambae ni 
 mwenyeji wa Finland anaeitwa Suvi.
 According to sources Linex aliamua kufanya kimya kimya tena wakiwa 
wawili tu, kwasababu hakutaka kujionyesha, na anaamini ile ni kitu  very personal haikuhitaji manjonjo mengi.
Well hongera zao na tunawatakia kila la kheri.



No comments:
Post a Comment