TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, February 26, 2013

HUKUMU YA KAJALA YAPIGWA KALENDA

Hukumu iliyokuwa ikisubiliwa na baadhi ya wadau wa tasnia ya sanaa hususani upande wa filamu ya msanii wa bongo movi Kajala Masanja imehairishwa mpaka tarehe 25 mwezi wa tatu

Chanzo cha habari ambacho ni mmoja wa rafiki wake wa karibu na msanii huyo alieleza kuwa kutokana na kutokuwepo kwa baadhi ya wahusika katika kesi hiyo imemladhimu hakimu kuihairisha kesi hiyo mpaka tarehe iliyopangwa hapo juu

No comments:

Post a Comment