TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, February 25, 2013

BARAZA LA VIJANA CCM LAKUTANA MBAGALA

Mgeni rasmi wa Baraza la Vijana wa CCM (UVCCM) la Kata ya Mbagala ambaye pia ni Mwenyekiti wa UVCCM, Oliver Mwambope (aliye katikati mwenye shati la mikono mirefu) akiwa kwenye meza kuu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Mbagala, Mzee Kassim Ngamba. anayemfuatia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Vijana, Anastazia Mwonga, Mjumbe wa Baraza la Mkoa DSM, Teddy. Kulia kwa Mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa UVCCM, kata ya Mbagala, Abdulhaman Ngamba na Mjumbe wa Baraza la Mkoa wa DSM, Ally Makwiro

No comments:

Post a Comment