TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, March 30, 2015

Vurugu Lugha za Matusi zatawala kwenye semina ya wabunge Mkoani Dodoma


Vurugu ,matusi na lugha za kejeli ni miongoni kati ya mambo yaliyotawala semina ya wabunge kuhusiana muswada wa sheria ya kutambulika hukumu zitakazokuwa zikitolewa na mahakama za kadhi hapa nchini wa mwaka 2014/2015.
Ni sehemu ya hali ilivyokuwa wakati wabunge waliposhindwa kuvumuliana na kuheshimiana walipokuwa wakichangia mara baada ya Jaji Robert Makaramba alipowasilisha mada kuhusiana na muswada huo hali iliyolazimu ulinzi kuimarishwa ndani ya ukumbi huo kwa hofu kwamba huenda waheshimiwa wabunge hao wakatwangana makonde na ndipo semina ilipoendelea.
Mbunge wa kuteuliwa, Kassim Issa mbunge baraza la wawakilishi,
Dakika chache baadaye ikafika kipindi cha kila mtu kumtafuta mbaya wake ama suluhu ya anachokiamini huku lugha za kutishana zikitawala.
Wakihitimisha semina hiyo muwasilisha mada Jaji Robert Makaramba pamoja na Waziri mkuu Mh.Mizengo Pinda wamesema ujumbe umefika na mapungufu yaliyoonekana yatafanyiwa kazi

No comments:

Post a Comment