TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, March 6, 2015

Hii ndio ajali ya ndege binafsi aliyoipata mwigizaji huyu staa wa Hollywood.

hARRISON iii
Hii picha alipigwa Harrison akiwa anaruka na ndege yake mwezi February 2015
Harrison Ford ni mmoja ya waigizaji ambao ni mastaa wakubwa sana duniani wa movie za Holywood, kutokana na kufahamika kwake tukio la ajali aliyoipata limefanya vichwa vingi vya habari kwenye vyombo vya kimataifa kumzungumzia.ford-plane-1-762x428Harrison amepata ajali ya ndege ndogo aliyokuwa akiendesha baada ya injini kupata hitilafu na ndege hiyo kuanguka katika uwanja wa gofu wa Penmar, Los Angeles Marekani.
Mtoto wa Harrison ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba hali ya baba yake iko poa, muda wowote anaweza akaruhusiwa kutoka Hospitali kwa kuwa amepata majeraha madogo.
12th Annual "Living Legends Of Aviation" Awards - Arrivals
Actor Harrison Ford.
Askari wa kikosi cha zimamoto Patrick Butler amesema Harrison alipata ajali ya kawaida, ana majeraha madogo japo kupona kwake ni kama bahati kwa kuwa ndege hiyo haikulipuka.
Shuhuda mmoja kwenye uwanja wa gofu amesema aliiona ndege imepoteza mwelekeo na kuyumba huku ikionekana kama ilikuwa inageuza kurudi uwanja wa ndege wa Santa Monica ilikotokea.
Harrison II
Harrison
Umbali sio mkubwa kutoka kwenye uwanja wa Ndege wa Santa Monica na kwenye Uwanja wa Gofu ndege hiyo ilipoanguka.
Baadhi ya movies alizowahi kufanya Harrison Ford ni pamoja na ‘Enders Game ya mwaka 2013 na Air Force One‘ 
enders-game-promo-poster
Haa

No comments:

Post a Comment