TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, March 17, 2015

Mwanamichezo aliyestaafu anayeingiza pesa nyingi zaidi.


michael-jordan-resized
Mtandao wa Forbes umetangaza kuwa mcheza kikapu wa zamani Michael Jordan anatengeneza dola za Kimarekani milioni 100 kwa mwaka kupitia Nike na kampuni zingine. Anatengeneza pesa nyingi zaidi kuliko mwanamichezo yeyote aliyestaafu.
Mwaka jana alitengeneza dola milioni 90, mwaka jana mauzo ya bidha za Jordan yaliongezeka kwa asilimia 17 na kufikia dola bilioni 2.6 kwa mujibu wa sportscaninfo.
Jordan anarekodi ya kuuza mara kumi zaidi ya wachezaji wengine wenye viatu kama Lebron James.

No comments:

Post a Comment