TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, March 31, 2015

SUMAYE: vijana jitokezeni kujiandikisha BVR 

Waziri Mkuu Mstaafu wa Awamu ya Tatu FREDERICK SUMAYE
Waziri Mkuu Mstaafu wa Awamu ya Tatu FREDERICK SUMAYE ametoa wito kwa wanawake na vijana nchini kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi Mkuu ujao.
Waziri Mkuu Mstaafu SUMAYE ametoa wito huo mjini KATESH wilayani HANANG mkoani MANYARA wakati akihutubia wananchi kutoka sehemu mbalimbali za wilaya hiyo ambapo pia amekemea vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.(TBC1)

No comments:

Post a Comment