SUMAYE: vijana jitokezeni kujiandikisha BVR
Waziri Mkuu Mstaafu wa Awamu ya Tatu FREDERICK SUMAYEWaziri Mkuu Mstaafu SUMAYE ametoa wito huo mjini KATESH wilayani HANANG mkoani MANYARA wakati akihutubia wananchi kutoka sehemu mbalimbali za wilaya hiyo ambapo pia amekemea vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.(TBC1)
No comments:
Post a Comment