SUMAYE: vijana jitokezeni kujiandikisha BVR

Waziri Mkuu Mstaafu SUMAYE ametoa wito huo mjini KATESH wilayani HANANG mkoani MANYARA wakati akihutubia wananchi kutoka sehemu mbalimbali za wilaya hiyo ambapo pia amekemea vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.(TBC1)
No comments:
Post a Comment