TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, March 8, 2013

NAIBU WAZIRI WA SHERIA AMALIZA ZIARA YA MAHAKAMA ZA DAR
1 f767d
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mh: Angellah Kairuki (mwenye nguo ya njano) akioneshwa kiwanja kitakachojengwa Mahakama ya Mwanzo Kawe wakati wa ziara yake ya kutembelea Mahakama za Mwanzo jijini Dar Es Salaam iliyomalizika jana. Wa kwanza kushoto ni Hakimu Mfawidhi Wilaya ya Kinondoni Mh. Aniceta Wambura na wapili kushoto ni Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Kawe Mh. Mary Katabi.

No comments:

Post a Comment