UBUNIFU WA KUVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA MASCUT OMAN
Bunduki 
ni miongoni mwa zana zinazotumika katika ngoma ya Asili kutoka nchini 
Moroko. Pichani Wasanii hao wakitumbuiza nje ya banda lao kuvutia wateja
 kujionea bidhaa mbalimbali za nchi yao katika maonesho ya Kimataifa ya 
Sanaa,ubunifu na utamaduni.
Wasanii 
wa Ngoma za Asili kutoka Tanzania wakitumbuiza nje ya Mlangoni wa Banda 
lao la Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni Mascut nchini
 Oman. Utumbuizaji wa ngoma ni mfumo wanaoutumia katika kuwavutia na 
kuwafurahisha Wateja kuingia katika Banda la Tanzania kwenye Maonesho 
hayo. Pichani ni Ngoma ya Msewe yenye asili ya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment